Search lyrics

Typing something do you want to search. Exam: Artist, Song, Album,Writer, Release Year...
if you want to find exactly, Please input keywords with double-quote or using multi keywords. Exam: "Keyword 1" "Keyword 2"

Singles


Artist: 104
Total songs: 1
Year:

List songs in album

  1. Wewe

Wewe Lyrics - Singles - 104

[Verse 1] - Young Lunya 

Baby una bonge la shape, sura pia, 

Bonge la upaja na guu la bia, 

Mtaani, mtaani wanakunyatia, 

Eti nnapokula mi wanataka kula pia, mmh! 

Sema mwingine I don't see, 

Haters wanabaki like OMG (OMG) 

Wanafki nao oh hooh, 

Hawawashi.. pilipili hoho, 

Baby la kichaga, shimboni 

Baby we ni maji, shingoni 

Baby we ni mwisho, ukingoni 

Baby una utundu wa kingoni 

Na pozi za kisister du, 

Chini nikila AirMax we ni viatu vya juu, 

Tumetoka mbali hawajui, 

Tumetoka mbali, M-Rap, Hawajui 

 

[Chorus] - Young Lunya 

Oh baby it's you, unanifanya nifurahi 

Kila saa natabasamu, 

Oh baby it's true, unaponiangalia 

Unaniteka tena sana 

So nkaona bora nibaki na wewe 

(Bora nibaki na wewe) - x 3 

 

[Verse] - Salmin Swaggz & Young Lunya 

Mara ya kwanza namuona alikua anatoka class, 

Ili ajue sinywi pombe nikaficha glass, 

Daftari likanihusu.. maana ana class, 

So, akaniruhusu mi nikampa trust, 

No negativity tukaenda dhibiti, 

Maneno ya marafiki tukayafunga kama vizingiti, 

Told her about the games that I don't play, (Don't play) 

Kabla sijasema she know what I'm gon' say, (Gon' say) 

You know my family, you know my whole spirit, 

Nishatembea na madem wana hoe spirit, (Hoe spirit baby) 

Nawapa wanachezea but they don't steal it, 

It's coming from my heart so I know you feel it, 

[Hook] - Young Lunya 

We... na wewe, 

Utakapoishi we, 

Nataka niishi na wewe 

 

[Chorus] - Young Lunya 

Oh baby it's you, unanifanya nifurahi 

Kila saa natabasamu, 

Oh baby it's true, unaponiangalia 

Unaniteka tena sana 

So nkaona bora nibaki na wewe 

(Bora nibaki na wewe) - x 3 

 

[Bridge] - Conboi 

Tumetoka mbali, tunakwenda mbali nataka ufike na mimi girl, 

Twende nyumbani ukawaone wazazi, yeah 

Nampenda mpenda she knows that (She know dat) 

Sintomtenda she knows that (She know dat) 

Nampenda mpenda she knows... 

Sintomtenda, mi nampenda 

 

[Verse] - Country Boy 

Ipite siku sijakuona moyo utanidunda, 

Kwa uzuri ulio nao sijui kama utachunda, 

Mungu akupe nini, we zaidi ya dini, 

Mi mshamba wa mapenzi ukicheche za watoto wa mjini, haah 

Nataka siku uniite husby, haah 

Tuzae watoto waniite daddy, 

Sitoi boko mechi zote mi ni shuti ndani, 

Unanidatisha unaposema "I'm coming..." 

 

[Outro] - Young Lunya 

Bora nibaki na wewe x4 

Mama we, bora nibaki na wewe 

Wengine wananichanganya changanya nkaona bora wewe