Search lyrics

Typing something do you want to search. Exam: Artist, Song, Album,Writer, Release Year...
if you want to find exactly, Please input keywords with double-quote or using multi keywords. Exam: "Keyword 1" "Keyword 2"

Singles


Artist: Ali Kiba
Total songs: 4
Year:

Mac Muga Lyrics - Singles - Ali Kiba

Verse 1 

Mcheza bongo Mac Muga 

Yuko single sana Mac Muga 

Ukimwona mtu akijinamia kwa sababu ya 

maisha yamchanganya Chali wangu alizamia 

Kuenda kusini mwa Africa Huku pia akimchanua kwa sababu ya maisha aliyofuma Alikuwa maarufu sana, Akajiona yeye ndo winner Kwa kujichanganya na wasichana Club zote za huko kujulikana 

Yeye Mac Muga Wewe Mac Muga Ah, 

hii dunia, Mac Muga huruma! 

Chorus 2x 

Mungusha asumani alipofika South Africa 

alikuwa na maisha bora Ya juu, 

ya thamani tena yanayohitajika magari yote 

kwa nyumba Mbona sasa amesharejea, 

hajui wapi ataanzia! 

Hakuna kazi mtu akajinamia 

Mac Muga hii ni dunia 

Verse 2 

Akajichezea, 

gari ya kutembelea Shida walimwelezea wasichana 

na shida zao akawatatulia 

Wewe upewe nini Mac Muga 

Mungu akupe nini Mac Muga? 

Nyumba ulijijengea, 

foro kuta nyumba Wewe ndio wewe, 

wengine fala! Wewe, 

Mac Muga Mbona sasa umeshatimua! 

South Africa wamekutimua 

Na sasa home usharejea 

Wewe Mac Muga Mungu akupe nini Mac Muga? 

Chorus 2x 

Mungusha asumani alipofika South Africa 

alikuwa na maisha bora Ya juu, 

ya thamani tena yanayohitajika magari makubwa, 

nyumba Mbona sasa amesharejea, 

hajui wapi ataanzia Hakuna kazi mtu akajinamia 

Mac Muga hii ni dunia! 

Verse 3 

Yipes kana huoni kwa Mac Muga 

Woi noma huruma kanyongo'nyea 

Afanye nini sasa, 

cha kufanya Kila anachachofanya anaona anakosea 

Yikes, 

kama huoni kwa Mac Muga Woi noma huruma kanyongo'nyea Afanye nini sasa, 

cha kufanya Kila anachachofanya anaona anakosea 

Akiwa jambazi akili zake zitaishia 

Akiwa mwizi anaona atauliwa 

Akifikiria kujiua Nafsi yamzusha basi analia 

Wewe Mac Muga! Mungu akupe nini Mac Muga? 

Wewe Mac Muga! Basi upewe nini Mac Muga? 

Mungu alikuzawadia Sasa ushachezea! 

Wewe Mac Muga ! Basi upewe nini Mac Muga? 

Mungu alikuzawadia maisha Sasa ushachezea! 

Haya, haya, Wangu Mac Muga 

Msela hao Wa mpani huna Wasee wa maskani wanakukimbia! Mac Muga noma Hee! 

Mac Muga Skonde, upige moyo konde, 

Mac Muga!