Search lyrics

Typing something do you want to search. Exam: Artist, Song, Album,Writer, Release Year...
if you want to find exactly, Please input keywords with double-quote or using multi keywords. Exam: "Keyword 1" "Keyword 2"

Diamond Platnumz

Kanyaga Lyrics - Diamond Platnumz

(Woo, woiyo ooh woiyo ooh) 

It's Platnumz, Zombie 

(Woo, woiyo ooh woiyo ooh) 

Its S2kizzy beiby 

 

Ati kanyaga ka ana pigo za unafiki 

Kanyaga kama mmbeya asiye rafiki 

Kanyaga kama fisi ana roho ya usnichi 

Hakulishi, hakuvishi kwani vipi? 

 

Kanyaga 

Wazee wa shombo kudandia, kanyaga 

Klabu kuomba omba bia, kanyaga 

Slay queens vitisho vya bandia 

Ukivipa hai ati madai vinavimbia 

 

Related 

 

23 One Hit Wonders You Still Can't Get Out Of Your Head 

 

LATEST SONG: Katy Perry - 'Harleys In Hawaii' - LYRICS 

 

NEW SONG: YoungBoy Never Broke Again - 'Lonely Child' - LYRICS 

 

Kanyaga! 

Uzushi, Kanyaga! 

Mashemu feki, Kanyaga! 

Nuksi, Kanyaga! 

Kudadadeki, Kanyaga! 

Mawifi, Kanyaga! 

Mpaka ma ex, Kanyaga! 

Mikosi, Kanyaga! 

Woooya Kanyaga! 

 

Kanyaga! Kanyaga! 

Kanyaga! Kanyaga! 

Kanyaga! Kanyaga! 

Kanyaga! Kanyaga! 

 

Yii, Kanyaga! Kanyaga! 

Kama unanicheza zangu 

Kanyaga! Kanyaga! 

Wale wakuda wadaku 

Kanyaga! Kanyaga! 

Yeah, kidaku daku 

Kanyaga! Kanyaga! 

Wajue hizi namba chafu 

 

Woo, woiyo ooh woiyo ooh 

Woo, woiyo ooh woiyo ooh 

 

Ooh yeah eeh 

Siku hizi watu wanataka money 

So nikimuita aku kosti, Kanyaga! 

Kunitumia mipicha pigo gani? 

Ati basi day nikuposti (oh yeah yeah) 

 

Kadi za harusi kuchanga changa, Kanyaga! 

Wakati mwenyewe nina majanga, Kanyaga! 

Sina godoro sina kitanda 

Ati nikuchangie kodi kwenda kupanga (yii) 

 

Kama buti la mugambo, Kanyaga! 

Wavuruga mipango, Kanyaga! 

Wazee wa Insta michambo 

Ati 'baby niunge bando' 

 

Kanyaga! 

Uzushi, Kanyaga! 

Mashemu feki, Kanyaga! 

Nuksi, Kanyaga! 

Kudadadeki, Kanyaga! 

Mawifi, Kanyaga! 

Mpaka ma ex, Kanyaga! 

Mikosi, Kanyaga! 

Woooya Kanyaga! 

 

Kanyaga! Kanyaga! 

Kanyaga! Kanyaga! 

Kanyaga! Kanyaga! 

Kanyaga! Kanyaga! 

 

Yii, Kanyaga! Kanyaga! 

Kama unanicheza zangu 

Kanyaga! Kanyaga! 

Wale wakuda wadaku 

Kanyaga! Kanyaga! 

 

Yeah, kidaku daku 

Kanyaga! Kanyaga! 

Wajue hizi namba chafu 

 

I say leeeooo.. 

Usiku hatulali, tunakesha kama popo 

Leo, leo 

Tena wape na bare, kama wao pakasi kwako 

 

Asa timba, timba timba (timbaaa) 

Wanangu timba (timbaaa) 

Wao kula kushoto (timbaaa) 

Kula kulia (timbaaa) 

 

I say timba, timba timba (timbaaa) 

Oyaa wahuni timba (timbaaa) 

Kama unazikili (timbaaa) 

Mchaka kabisa akili (timbaaa) 

Copyright: Song Discussions Is Protected By U.s. Patent 9401941. Other Patents Pending.