Search lyrics

Typing something do you want to search. Exam: Artist, Song, Album,Writer, Release Year...
if you want to find exactly, Please input keywords with double-quote or using multi keywords. Exam: "Keyword 1" "Keyword 2"

Diamond Platnumz

Nitakukumbuka Lyrics - Diamond Platnumz

VERSE 1 

ooooh 

ah 

ale tate tate 

ah 

kinachoniuma ni mazoea 

kunifanya nikeshe usiku na mchana 

ah 

au mate au mate 

ah 

mbele na nyuma nikingojea 

huenda ikabadili mfupa kuwa nyama 

ooh siri yangu siri 

bado natunza iwe yangu 

siri yangu 

japo kuwa natamani kusema 

wachache 

bado naisubiri 

mola hajanipa zamu yangu 

aah 

huenda utanikumbuka siku unifuate 

ah 

moyo kama nguo ukausasangua 

kwa moshoga zako 

ukaacha funguo 

kwa kujishebetua ukaenda zako 

moyo kama nguo ukausasangua 

kwa moshoga zako 

ukaacha funguo 

kwa kujishebetua ukaenda zako 

 

Related 

 

Songs That Will Make You Cry Uncontrollably 

 

LATEST SONG: Katy Perry - 'Harleys In Hawaii' - LYRICS 

 

NEW SONG: YoungBoy Never Broke Again - 'Lonely Child' - LYRICS 

 

CHORUS 

aah 

rudi mama eeh 

nakukumbuka 

nakukumbuka eeh 

nakukumbuka 

mwenzako silali eeh 

(x4) 

 

VERSE 2 

ah 

niacheni mie 

kinachoniuma ni mazoea 

mie 

siwezi kuficha nimekuzoea 

mie 

kinachoniuma ni mazoea 

mie 

siwezi kuficha nimekuzoea 

hali yangu si shwari 

mda wowote huenda naja (huenda naja) 

fanya uje na daktari 

tena ikibidi waganga (waganga) 

na matafuta hodari 

kutoka binga na tanga 

wale nguli machachali 

wapiga ndele kwa vanga 

ooh ooh 

hizi furaha za duniaa 

mamaaa 

ziko tangu vile iliaa 

mamaaa 

njoo nakusubiriaa 

mamaaa 

ona hata nakuimbiaa 

mwenzako silali 

 

CHORUS 

aah 

rudi mama eeh 

nakukumbuka 

nakukumbuka eeh 

nakukumbuka 

mwenzako silali eeh 

(x4) 

(x2) 

Copyright: Song Discussions Is Protected By U.s. Patent 9401941. Other Patents Pending.