Search lyrics

Typing something do you want to search. Exam: Artist, Song, Album,Writer, Release Year...
if you want to find exactly, Please input keywords with double-quote or using multi keywords. Exam: "Keyword 1" "Keyword 2"

Diamond Platnumz

Sikomi Lyrics - Diamond Platnumz

erse 1] 

Wanasemaga mapenzi safari 

Unavyopita ndo jinsi unajongea 

Ila niendako ni mbali sijui ka ntafika sababu natembea 

Niliposikiaga Habari 

Yakisifika nikakesha nangojea 

Akabariki Jalali na nikawika muziki nikauotea 

Ile pruuu mpaka Macca 

Nikadandiaga Bongo movie 

Kumbe mapenzi hayataki haraka 

Ni kama tango natia tu chumyi 

Mwenzenu nikaoza haswa 

Na kujitia kitandani mjuzi 

Eti nataka fukuza paka 

Badala ya mbwa nikafuga mbuzi 

Hhhmmm 

Wivu ukanifanya nikagombana na marafiki 

Ugomvi na mamangu akiniambia siambiliki 

 

Related 

 

Match These Taylor Swift Songs to Her Ex-Boyfriends 

 

LATEST SONG: Katy Perry - 'Harleys In Hawaii' - LYRICS 

 

NEW SONG: YoungBoy Never Broke Again - 'Lonely Child' - LYRICS 

 

Moyo ukanambia Nasibu sasa mapenzi basi 

Ila nang'ang'ania najaribu kuipinga nafsi 

Esma ananiambia mdogo wangu mapenzi basi 

Ila nang'ang'ania 

Nikiumizwa na huyu kesho nna mwingine 

 

Ooh mbona sikomi 

Sikomiii 

Sikomi 

Licha ya mateso haya 

Najiuliza (oh sikomiii) 

Oh sikomi mbona (Sikomiii) 

Mbona jamani 

Sikomi 

Licha ya mateso haya 

Hhhhmmm 

 

Aliyonifanyia wa central 

Haki ya mungu siyawezi sema 

Ila nimejifunza kesho nisiwaamini wacheza sinema 

Moyo walinipatia mateso 

Siwezi kumeza siwezi tema 

Ndio maana sikushanga ile ghafla 

Toka CCM kwenda CHADEMA 

Wanasema kitanda ukitandika sharti ukilalie 

Nikajitia ukamanda yatakwisha 

Wacha nivumilie 

Kila kiza kikitanda 

Ndo visa machozi me nilie 

Penzi yakatia parapanda 

Kuwaita waje washambulie 

Aah 

Acha na penny we darling 

Nilio muhongaga gari aliponambia ana mimba 

Mwisho wa siku akaichomoa chaliiiii 

Mola akanitunuku Zari 

Akanzalia dume na mwali 

Niliyvo mjinga nikacheat aibu mpaka 

Kwa vyombo vya habari 

 

Moyo unanambia Nasibu sasa mapenzi basi 

Ila nang'ang'ania najaribu kuipinga nafsi 

Lizer ananiambia simba mapenzi basi 

Ila nang'ang'ania 

Nikiumizwa na huyu kesho nna mwingine 

 

Ooh mbona sikomi (mboooona) 

Sikomiii (mbona jamani) 

Sikomi 

Licha ya mateso haya 

Eh Nishafumania (oh sikomiii) 

Nikafumaniwa mimi (Sikomi) 

Nishagombana na watu (Sikomiii) 

Licha ya mateso haya (Mateso haya) 

Copyright: Song Discussions Is Protected By U.s. Patent 9401941. Other Patents Pending.