Search lyrics

Typing something do you want to search. Exam: Artist, Song, Album,Writer, Release Year...
if you want to find exactly, Please input keywords with double-quote or using multi keywords. Exam: "Keyword 1" "Keyword 2"

Kulewa Lyrics - Singles - Diamond

We niache niende niende niende ni ende x2 

{Verse 1} 

Usiniulize kwanini sababu utanizingua 

ukitakajiunge na mimi kama ni pesa we kunywa ntanunua... 

Mi mwanzo sikuamini nikajuaga vyakuzua 

Kumbe mjinga ni mimi ninayetunza wenzangu wanachukuwa.. 

(Oooh! Mapenzi) Mapenzi yalinifanya ka_mtoto nilie vibaya, 

mie siwezi kwa yalonikuta we niache niseme jina 

(Ooooh! Mapenzi) yalinifanya ka_mtoto nilie vibaya 

na nnamengi yamenikaa moyoni 

 

Related 

 

15 Huge Stars Who Were Backup Singers First 

 

Every Lyric From Shawn Mendes' Self-Titled New Album 

 

Every Lyric From Keith Urban's New Album 'Graffiti U' 

 

{Chorous} 

Leo nataka kulewa {Lewaaaaa} 

Mi nataka kulewa {Lewaaaaa} 

Nataka kulewa {Lewaaaaa} 

Zikipanda nimwage radhi....x2 

We niache niende niende niende ni ende...x2 

 

(Vearse II) 

Mi kwa mapenzi maskini Nikamvisha na pete nikamuoa 

kukata vilimilimi vya wazushi wanafki wanaomponda... 

kumbe mwenzangu na mimi ni bure tu najisumbua 

si tuko kama ishirini mabuzi ving`asti wengine anawaonga.. 

(Oooh! Mapenzi) yalinifanya ka_mtoto nilie vibaya, 

mie siwezi, kwa yalonikuta we niache niseme jina 

(Ooooh!) Mapenzi yalinifanya ka_mtoto nilie vibaya 

na nnamengi yamenikaa moyoni 

 

Photos 

 

{Chorous} 

Leo nataka kulewa {Lewaaaaa} 

Mi nataka kulewa {Lewaaaaa} 

Nataka kulewa {Lewaaaaa} 

Zikipanda nimwage radhi....x2 

 

We niache niende niende niende niende..x2 

Copyright: Song Discussions Is Protected By U.s. Patent 9401941. Other Patents Pending.