Search lyrics

Typing something do you want to search. Exam: Artist, Song, Album,Writer, Release Year...
if you want to find exactly, Please input keywords with double-quote or using multi keywords. Exam: "Keyword 1" "Keyword 2"

Harmonize

Genres: Electronic

Kwa Ngwaru Lyrics - Harmonize

Mmhh I wish ningekuwaga na mavumba, 

Mkwanja manoti, nikuhonge vya thamani 

Ama niwe fundi wa kuigiza ka Kanumba, 

Masanja, Joti usiwe mbali nami 

Mhhh my darling I need your love ooh 

Uwe nami, haki ya Mungu nakupenda 

Nobody can show you love ooh 

Usiwaamini, ukishawapa wanakwenda 

 

Oh basi jilegeze nikubebe mgongoni (iyelewi) 

Deka nikudekeze, nikutunze kama mboni (iyelewi) 

Wakija wapoteze, jifanye kama huwaoni (iyelewi) 

Kisha uniongeze ulivofunzwa unyagoni (iyelewi) 

Ooh baby, asa dance nikuone (kwa ngwaru) 

Uwabamijo (kwa ngwaru), ululufemi (kwa ngwaru) 

Ooh baby, asa cheza nikuone (kwa ngwaru) 

Wabamijo (kwa nwaru), basi cheza na mimi (kwa ngwaru) 

 

Related 

 

23 Boy Band Slow Jams That Made You Believe In Love 

 

POPULAR SONG: Post Malone - 'Circles' - LYRICS 

 

NEW SONG: Camila Cabello - 'Shameless' - LYRICS 

 

(Diamond) 

Agha, moyo wangu wa muarobaini 

Mchungu ukiuziwa 

Samehe mara sabini, huo uzungu sijajaliwa 

Ukipenda chunga majini, kwenye uvungu pale niwa 

Kumbatie baridini, kwenye tundu kama njiwa 

Moyo wangu ni wa makuti, usinijie na kiberiti (asa wee) 

Penzi likageuka chuki, nyumba ikawa Kibiti (asa wee) 

Nipatie vya kitandani, nipe mpaka kwenye kiti (asa wee) 

Ili asiniingie shetani, nawe nikaja kuku-cheat 

 

Oh basi jilegeze, nikubebe mgongoni (iyelewi) 

Kitandani nikoleze, kwa miuno ya Kingoni (iyelewi) 

Kisha nibembeleze, nirudishe utotoni (iyelewi) 

Weka mate niteleze, kama nyoka pangoni (iyelewi) 

 

Oh baby asa dance kidogo (kwa ngwaru) 

Ooh wabamijo (kwa ngwaru), ululufemi (kwa ngwaru) 

Ooh baby asa cheza nikuone (kwa ngwaru) 

Uwabamijo (kwa ngwaru), basi cheza na mimi (kwa ngwaru) 

 

Check Out 

 

HOT SONG: Billie Eilish - 'all the good girls go to hell​' - LYRICS 

 

27 Best Ever Songs From Movie Soundtracks 

 

HOT SONG: A$AP Rocky - 'BABU$HKA BOI' - LYRICS 

 

The 18 Greatest Revenge Songs of All Time 

 

(Diamond, Harmonize) 

Agha, unataka kucheza chura na ingali umesimama (aa inama inama) 

Asa waonyeshe (aa inama inama), unachezaje (aa inama inama) 

Unataka maji ya kisima na muoga wa kuchutama (aa inama inama) 

hebu waonyeshe (aa inama inama), unachotaje (aa inama inama) 

Unataka kupiga deki, wima umesimama (aa inama inama) 

hebu tuonyeshe (aa inama inama), unapigaje (aa inama inama) 

Si unataka vya pool table sa mbona unajibana (aa inama inama) 

hebu tuonyeshe (aa inama inama), unalengaje (aa inama inama) 

 

(Diamond) 

Hii! oya wanangu wa Kigogo (aa inama inama) 

Nipe za Mose Iyobo (aa inama inama) 

Vunja vunja kidogo (aa inama inama) 

Aa niongeze mikogo (aa inama inama) 

Copyright: Song Discussions Is Protected By U.s. Patent 9401941. Other Patents Pending.