Search lyrics

Typing something do you want to search. Exam: Artist, Song, Album,Writer, Release Year...
if you want to find exactly, Please input keywords with double-quote or using multi keywords. Exam: "Keyword 1" "Keyword 2"

Just A Band

Genres: Electronic

Dunia Ina Mambo Lyrics - Just A Band

Oh oh 

Dunia ina mambo bana 

Usishangae sana, sana 

Tena sana, sana (eh ehe eh) 

Hata mimi nashanga bana 

(Hata mimi ( nashanga bana x2) 

Ukiniona waniona na aibu sana, 

Wasee wangu kwa mtaa wanawika bana, 

Siku hizi naogopa kuomba bwana, 

Juu hata mifuko za wakora zaimba hosana, 

Walinipa uongo nami nikakubali nikamfuata nyuki, 

Nikalimwa na asali, 

Weka tumbo mbele wacha akili nyuma, 

Maiti kavalia, 

Walisema sikuskiza, oo 

 

Mama na baba walinighusia ewe kijana, 

Kuwa mwanangu jionee 

Dunia ina mambo 

Yao sikuyasikiza, 

sasa mimi najuta, 

Kweli najionea, 

Dunia ina mambo 

Hey 

 

Chorus 

Dunia ina mambo oo 

Dunia ina mambo 

(Dunia ina mambo bana) 

Dunia ina mambo oo 

Dunia ina mambo 

(Dunia ina mambo sana) 

Dunia ina mambo oo 

Dunia ina mambo 

(Dunia ina mambo bana) 

Dunia ina mambo oo 

Dunia ina mambo 

Dunia ina mambo ooo 

 

Nafunga bao, 

Niite pita dao, 

Ubaya ya binadamu 

Ni rahisi kusahau, 

Changu ni chetu, 

Lakini Chako ni chako, 

Mtu wangu ah aah wacha vako, 

Marafiki wamekuwa manafiki bana, 

Najionea tena kushangaa sana 

Niliacha kuwa mjinga, (nini) 

Ati sasa najiringa, 

Ukistaajabu ya Musa ya Firauni bado 

 

Walinambia kijana, 

Jihadhari na 'limwengu 

Hao walimwengu si wazuri kwako kijana, 

Yao sikuyasikiza, 

Sasa mimi najuta 

Kweli najionea, 

Dunia ina mambo 

Hey 

 

Dunia ina mambo oo 

Dunia ina mambo 

(Dunia ina mambo bana) 

Dunia ina mambo oo 

Dunia ina mambo 

(Dunia ina mambo sana) 

Dunia ina mambo oo 

Dunia ina mambo 

(Dunia ina mambo bana) 

Dunia ina mambo oo 

Dunia ina mambo 

Dunia ina mambo ooo 

 

Ukiwa nao leo marafiki ni wengi sana 

Watakusifu -oo wewe kijana mzuri 

Dunia ina mambo oo 

Dunia ina mambo 

Ukiwa hunawo wengi wanakukimbia 

Na mengi kusema wewe kijana mbaya 

Dunia ina mambo oo 

Dunia ina mambo 

(Dunia ina mambo) 

 

Dunia ina mambo oo 

Dunia ina mambo 

(Dunia ina mambo bana) 

Dunia ina mambo oo 

Dunia ina mambo 

(Dunia ina mambo sana) 

Dunia ina mambo oo 

Dunia ina mambo 

(Dunia ina mambo bana) 

Dunia ina mambo oo 

Dunia ina mambo 

 

Dunia ina mambo ooo oooo wo wo wo wo wo wo 

Dunia ina mambooo 

Dunia ina mambo 

Dunia ina mamboo 

Ah aah aaah 

Ah aah aaah