Search lyrics

Typing something do you want to search. Exam: Artist, Song, Album,Writer, Release Year...
if you want to find exactly, Please input keywords with double-quote or using multi keywords. Exam: "Keyword 1" "Keyword 2"

Hey Lyrics - Singles - Just A Band

Hey baby 

Nataka kukuona 

Sura yako inafanya roho inapona 

Hey Kweli we ni malaika 

Hao wengine nawaita kadhalika 

Hey baby 

Nataka kukuona 

Sura yako inafanya roho inapona 

Hey Kweli we ni malaika 

Hao wengine nawaita kadhalika 

 

Kaa kuna mtu hii dunia ana bahati ni mimi 

Najua kila mtu ataniuliza kwa nini 

Manzi yangu bumba hata mi siamini 

Sitaki Ruth, sitaki Ray, sitaki pia Kanini 

Kushikwa nimeshikwa nikaweka mfuko 

Hakuna pickpocket atanitoa huko 

Ni mimi na yeye 

Yeye na mimi 

Tuko pamoja kama mdomo ulimi 

Amekua na mimi nikikaranga chumvi 

Atakuwa na mimi nikianza kunona 

Sijamwona leo lakini story ni hii 

Nitachukua simu yangu nimwambie hivi 

Ntasema 

 

Hey baby 

Nataka kukuona 

Sura yako infanya roho inapona 

Hey Kweli we ni malaika 

Hao wengine nawaita kadhalika 

Hey baby 

Nataka kukuona 

Sura yako infanya roho inapona 

Hey Kweli we ni malaika 

Hao wengine na waita kadhalika 

 

Si kila siku utapata msichana moja mzuri 

Msichana amesoma 'kini hana kiburi 

Msichana saa zingine anasoma zaburi 

Kusikiza santuri kwake pia desturi 

Kama niko naye kila kitu ni shwari 

Naona poa sana ananijali hali 

Ye ni upepo wangu katika jua kali 

Tafadhali please nitasema ukweli 

Akiniacha leo sitafuti mwingine 

Mambo ya kutafuta niliacha zamani 

Lakini hiyo haitafanyika jamani 

Juu hata yeye najua anafikiri hiyi 

 

Hey baby 

Nataka kukuona 

Sura yako inafanya roho inapona 

Hey Kweli we ni malaika 

Hao wengine nawaita kadhlika 

Hey baby 

Nataka kukuona 

Sura yako inafanya roho inapona 

Hey Kweli we ni malaika 

Hao wengine nawaita kadhlika 

 

I have eyes for only you for only you 

I have eyes for only you for only you 

I have eyes for only you for only you 

 

Hey baby 

Nataka kukuona 

Sura yako inafanya roho inapona 

Hey Kweli we ni malaika 

Hao wengine nawaita kadhalika 

Hey baby 

Nataka kukuona 

Sura yako inafanya roho inapona 

Hey Kweli we ni malaika 

Hao wengine nawaita kadhalika