Search lyrics

Typing something do you want to search. Exam: Artist, Song, Album,Writer, Release Year...
if you want to find exactly, Please input keywords with double-quote or using multi keywords. Exam: "Keyword 1" "Keyword 2"

Lady Jay Dee

Anita Lyrics - Lady Jay Dee

Chorus 

Anita, Anita wangu, hey lele 

 

lilei iyeeee iyee 

Ei sukuma sukuma, ili siku ziende 

Urudi nyumbani tuishi pamoja 

Verse - Matonya 

Nasikia mazoea yanatabu, leo 

 

ndio naamini 

Tangu uondoke Anita raha nakosa 

 

mimi 

Ukumbuka tulilishana yamini 

Kwamba mimi na wewe 

Maisha milele mpaka nafukiwa 

 

chini 

Ni mawazo yanautesa moyo wangu 

 

Anita nielewe 

Natamani uyajue ili unilinde 

 

mimi 

Sijajua uliwaza nini Anita 

kuwa 

mbali na mimi 

Hata hilo nilijue ili nisaishe 

 

mimi 

Kama ni maradhi, mimi ndio wako 

 

nakitari 

Unambie mapema ili dawa yake 

 

niijue 

Kama ni waradhii iiiiiie 

Anita 

Repeat Chorus 

Verse - Lady Jaydee 

Unajua nilikupendaa zaidi 

Ila ya dunia we yalikuzidi 

Nilitamani kuwa nawe zaidi 

Kuliko yoyote unayemdhani 

Siku zote uko safarini kuniacha 

 

mimi upweke 

Mimi nilikupena sana we mpenzi 

Je kweli wataka kunienzi 

Au unataka kunitia mi mashakani 

Verse - Matonya 

Siku zote nipo kama chizi, ni 

 

yangu njiani naongea 

Hiyo yote sababu yako anita kilio 

 

pokea 

Chifu na majirani mtani wanakuulizia 

Sina la kuwajibu nabaki kama 

 

chichi najililia 

Waliniambia nikuache wewe 

Ili mimi niishi mwenyewe 

Masikio nikaziiba, vipi niishi 

 

bila wewe 

Wakasema hutonisamini, wala 

 

haikuniingia akilini 

Gozi, gita wakapiga jua wewe 

 

ndio wa maishani 

Anita wewe umeumbika mama 

Kila upitapo nyuma malawama 

Sijiwezi mtoto wa kitanga 

Kwako taabani nimeshamwaga 

 

manyanga 

Anita wewe umeumbika mama 

Kila upitapo nyuma malawama 

Sijiwezi mtoto wa kitanga kwako 

 

taabani. 

Repeat Chorus till fade