Search lyrics

Typing something do you want to search. Exam: Artist, Song, Album,Writer, Release Year...
if you want to find exactly, Please input keywords with double-quote or using multi keywords. Exam: "Keyword 1" "Keyword 2"

Singles


Artist: Longombas
Total songs: 3
Year:

List songs in album

  1. Vuta Pumz
  2. Queen
  3. Dondosa

Vuta Pumz Lyrics - Singles - Longombas

Chorus 

Hee-haa, vuta pumz We vuta pumz 

Longombas wanafanya mambo (vuta pumz) 

Longombas wanatetemesha (vuta pumz) 

Jamani nisikilizeni, mnisikilize (x2) 

Kuna wanawake warembo Wenye marasa, 

na mapaja, na weupe Na ni wazuri kinyama 

Jamani nisikilizeni, mnisikilize (x2) 

Kuna wanaume wengi Wenye vifua, na warefu, 

na wenye nguvu Na ni wazuri kinyama 

Lakini tujichunge Pengine wanao mdudu 

Wanatuacha, wana-go (x2) 

Chorus 

Hee-haa, vuta pumz We vuta pumz (x2) 

Usimwone amejaza nyuma, 

ukadhani ako poa Usimwone amerembeka, 

ukadhani umefika Usimwone ana pesa, 

ukadhani umefika Pengine anatuacha, 

kesho anachora (X2) 

Na kama unayo, si mwisho ya maisha 

Ni ugonjwa tu kama malaria 

Meza dawa, piga tizi, kula vizuri, 

utaishi fiti Maisha utayasukuma (x2) 

Na mijinga usiyojua kujichinga 

Kila shimo unaona unadunga 

Hebu jichunge kijana utakuja 

kufa tukuzike Lang'ata Paja asione tu, 

huyo ashainua Kifua kisipite tu, 

huyo ashajigonga Tako lisipite tu, 

mate yashamtoka (x2) 

Chorus 

Hee-haa, vuta pumz We vuta pumz (x2) 

Ayi nenene (x16) 

Usimwone amejaza nyuma, 

ukadhani ako poa Usimwone amerembeka, 

ukadhani umefika Usimwone ana pesa, 

ukadhani umefika Pengine anatuacha, 

kesho anachora