Search lyrics

Typing something do you want to search. Exam: Artist, Song, Album,Writer, Release Year...
if you want to find exactly, Please input keywords with double-quote or using multi keywords. Exam: "Keyword 1" "Keyword 2"

Singles


Total songs: 2
Year:

List songs in album

  1. Raundi Hii
  2. Mia Kwa Mia

Mia Kwa Mia Lyrics - Singles - Ly'hans Hannee

(Intro) 

hehehe KitaLegend homie hehehe 

Ly'Haaans 

twende kazi 

 

(Verse I) 

am so fly, lazima niwe hewani, 

ukiskia hehehe ujue ni Ly'Hans ako ndani 

mashinani niko ndani ya fani maskani flani kila wakati, nikisaka money 

hustla napiga sala kwa mola ndo nipate hela 

pop collar ili nishike mulla ka bank teller 

storyteller kwa biti, vitu natema si silly 

najikaza sana mithili ya mishipi mingi 

saluti kwa masela na mafella kila mahali 

nimeanza kuvuka border nikisaka ma dili, 

ndio ni get dollar buy ndula, 

mulla on my medulla, 

sister du na brother du toka Kitale hadi Dar-Es-Salaama 

hala , niteme bars kadha wa kadha 

Kiswahili nasema mithili ya Wallah Bin Wallah 

Mia kwa mia toka Kenya hadi Tanzania 

Afrika hadi Amerika natema nikiskika 

 

(Chorus) 

Mia kwa mia 

Kwa mia, kwa mia, 

Mia kwa mia 

Hustla naleta vitu mia kwa mia 

Mfukoni kunaingia ma mia na mia X2 

 

(Verse 2) 

Kila kitu ni mia kwa mia, 

Kwa benki ma mia na mia yanaingia, 

Msanii naleta asilimia mia, 

Penye nia pana njia 

omba, panga, anza na utapata 

nafuata nyuki always nile honey 

niko njiani eryday kusaka money, 

mfukoni shilingi ni mbili 

na bado nasaka mingi 

am so hungry for money, 

na nikipata I get greedy, 

sober mind lazima uwe steady, 

kwa streets ka pedi, 

bidii na miradi hazijadedi ju niko ready 

ka akili ni nywele, 

mi ni rasta bila dreadi 

get money, eryday,always the same way 

nasaka nasaka, tafuta tafuta, 

mchezo tiktaka, 

ka Shawn Carter naleta masterpiece ka Magna Carta, 

nasakata karata ya hustlas with ambitions, 

flow tighter, higher ka kiter, 

kwa muziki mi ni writer, 

ready ka fire fighter, 

ju nawasha flames na lighter, 

making classics, no more time for remix, 

no more time for refix, no more time for fake shits, 

hustla naleta mia kwa mia, 

kwa mia,kwa mia, 

vumilia, ka punda milia, 

hakuna kulia pesa ikiingia 

kwa Mungu nimeaminia 

mazoea ni kuwaimbia 

 

(Chorus) 

 

*END*