Search lyrics

Typing something do you want to search. Exam: Artist, Song, Album,Writer, Release Year...
if you want to find exactly, Please input keywords with double-quote or using multi keywords. Exam: "Keyword 1" "Keyword 2"

Singles


Artist: Mercy Myra
Total songs: 2
Year:

List songs in album

  1. Sitaki
  2. I'll Fly Away

Sitaki Lyrics - Singles - Mercy Myra

ntro 

Ogopa, rafiki nyoka 

Atakugeuzia kama kinyonga 

Watani bomba saidia 

Kumbe wajinyonga 

Brother, I suggest you rather take a chill pill 

And think twice before we can fight each other 

Trying to uncover about my lover 

Mafanya nimefanyeje ....whatever 

You think you're clever 

Don't be silly 

You only be scandalous like Lewinsky and Billy 

Ukiacha msengenyo tu pamoja 

Lakini kini kiafinyo tutaongoja 

Ukitaka mchogoano utangoja 

Hey, utangoja (2x) 

 

Verse 1 

Tabia kama hiyo 

Mimi sipendi 

Wala sio ungwana 

Tena sio ustaarabu 

Why you wanna hurt me, thought you were my friend 

Seems like you desert me, when I need a hand 

 

Chorus 2x 

Mimi sitaki, sitaki, sitaki, sitaki uovu 

Don't want friends who backbite 

Just cuz I'm out of sight 

Mimi sitaki, sitaki, sitaki, sitaki uovu 

Don't wanna hurt in this way 

Better take care of what you say 

 

Verse 2 

I am confused by these rumours 

Growing in people's heads like tumours 

I think I am fed up 

These liars won't shut up 

They keep playing with the knife 

They get themselves cut up 

When they see me in the club, they be like 'yo what up' 

Why lie, I thought you were my guy 

But you were just a spy 

Na mambo ya mensengenyo, mi sitaki 

Na mambo ya mchongwano, mi sitaki 

Kama hiyo ndiyo mambo jo, mi sitaki 

Hey, mi sitaki (2x) 

 

Verse 3 

Kama niko mwenyewe 

Mbona hamnisengenyi 

Nikiondoka kidogo 

Nyumba mwanisengenya 

I am only asking of you, what I know is fair 

Don't beg loyalty, where you don't really care 

 

Repeat Chorus 2x 

 

Verse 4 

Tabia kama hiyo mimi sipendi 

Sio mwana, tena sio ustaarabu ustaarabu 

Nikiwa mwenyewe mbona hamnisengenyi 

Nikiondoka kidogo kidogo bona mnasengenya 

 

Ooh yeeaah 

Mwani se ngenya (3x) 

 

Repeat Chorus till fade