Search lyrics

Typing something do you want to search. Exam: Artist, Song, Album,Writer, Release Year...
if you want to find exactly, Please input keywords with double-quote or using multi keywords. Exam: "Keyword 1" "Keyword 2"

Singles


Artist: Redsan
Total songs: 3
Year:

Leo Ni Leo Lyrics - Singles - Redsan

Chorus 

Shika glasi 

weka barafu 

miminya kinywaji 

inua kwenye mashavu 

leo ni leo msema kesho ni bafu 

wakitaka wasitake game yangu ni chafu 

 

Shika glasi 

weka barafu 

miminya kinywaji 

inua kwenye mashavu 

leo ni leo msema kesho ni bafu 

wakitaka wasitake game yangu ni chafu 

 

Verse 1 

The mic is in my hand 

mfukoni na mbachu 

madame kadhaa jamaa leo ntakwachu 

si kama kawaida kwa wengine ni ajabu 

Kiswahili kitambae wote wanifahamu 

na kama huelewi shika kamusi babu 

usiogope saa zingine Kiswahili ni taabu 

but weka bidii basi weka nidhamu 

uelewe hii maana na uelewe sababu ya 

msanii mwenye akili timamu 

niki-rap maneno yanayochonga fahamu 

kweli mwenda pole hajitegi jamaa 

waliodhani wako mbele wako nyuma jamaa 

 

Chorus 

Shika glasi 

weka barafu 

miminya kinywaji 

inua kwenye mashavu 

leo ni leo msema kesho ni bafu 

wakitaka wasitake game yangu ni chafu 

 

Shika glasi 

weka barafu 

miminya kinywaji 

inua kwenye mashavu 

leo ni leo msema kesho ni bafu 

wakitaka wasitake game yangu ni chafu 

 

Verse 2 

mi hunoki ma-bad girl 

madame wenye class 

madame wenye pesa 

na figure na a** 

usicheki kama hauelewi hii grammar 

kama hukunipata basi narudi tena 

mi hunoki ma-bad girl 

madame wenye class 

hawachelewi na time 

akitokea ni dime 

basi shika hii glasi 

hebu cheka kiasi 

amkeni tu-party 

Pinye yuko ndani 

DJ washa taa 

wacha watu wabanjuke 

weka speaker na bass mpaka speaker ipasuke 

mi huimba ragga lakini leo nime-switch 

ka mafala hawashiki basi leo wata-flip 

toka zama za kale 

kama mawe za Kwale 

nimekomaa kwa hii mchezo mimi ni mnare 

maneno magumu kama tofali 

usiwachezee wale waliokufunza wewe kamare 

samahani mi sina utani 

ile ya ndani 

na ma-haters wakistua mimi naweka imani 

kwa mafans wangu kamili 

inua glasi 

 

Chorus 

Shika glasi 

weka barafu 

miminya kinywaji 

inua kwenye mashavu 

leo ni leo msema kesho ni bafu 

wakitaka wasitake game yangu ni chafu 

 

Shika glasi 

weka barafu 

miminya kinywaji 

inua kwenye mashavu 

leo ni leo msema kesho ni bafu 

wakitaka wasitake game yangu ni chafu 

 

Verse 3 

Najua mna-feel fresh vibes ndio 

niki-flow na hii style ndio 

vitu mpya nawapa au sio 

Dutty sounds we lock it au sio 

 

Najua mna-feel fresh vibes ndio 

niki-flow na hii style ndio 

vitu mpya nawapa au sio 

Dutty sounds we lock it au sio 

 

Chorus 

Shika glasi 

weka barafu 

miminya kinywaji 

inua kwenye mashavu 

leo ni leo msema kesho ni bafu 

wakitaka wasitake game yangu ni chafu 

 

Shika glasi 

weka barafu 

miminya kinywaji 

inua kwenye mashavu 

leo ni leo msema kesho ni bafu 

wakitaka wasitake game yangu ni chafu