Search lyrics

Typing something do you want to search. Exam: Artist, Song, Album,Writer, Release Year...
if you want to find exactly, Please input keywords with double-quote or using multi keywords. Exam: "Keyword 1" "Keyword 2"

Singles


Total songs: 5
Year:

Zaidi Ya Rap Lyrics - Singles - Salmin Swaggz

[Verse 1: Salmin Swaggz] 

Miaka sita kwenye game and I still survive 

Kuna other rappers kwenye game wanatest the drive 

And I got that circle on my name and we stay alive 

Them other rappers wanadream about getting this love 

Maisha ni hustle when you don't know nothing 

I'm just good at something 

These rappers only notice money, beat-boxing and rapping 

Wanapima utajiri counting these bottles we poppin' 

Na story zimejiri down with them photos we're flashin' 

Wagonjwa wanakufa hospitali, nobody notice 

Watu wana pombe kali they be like you know we know this 

Mapenzi yalianza tangu kale, now we don't choose it 

Watu wanaombaomba pale and these rappers say move it 

I'm trynna reminisce how I live the life that I'm in 

I'm on my 20s they around like you know what I mean 

Wachache wenye akili asking where the hell I was been 

I never wanted no Kili, I let it be like... 

 

[Hook] 

What I rap zaidi ya mechi Simba-Ismailia 

(Wanga walinifumba macho but I'm still right here) 

What I rap zaidi ya mechi Simba-Ismailia 

(Nahisi mnachotaka nnacho na ndo mnachokiskia) 

And be like...and be like 

And be like...and be like 

 

[Verse 2 : Hood C] 

Lawama si salama, huleta uhasama 

Karama za akina mama ni undama usipende sana 

Hama, ili ucross kuitwa "Big Boss" 

Ukinitazama kwa njama, West na East coast 

Penda panda pea, tazama unakoelekea 

Dandia star icon, Hip-Hop ni fair 

Tengeneza yako weapon, homie don't be scared 

Share, kuziepuka dhambi jongea aah 

Jarida maridhawa upendo wa Jah power 

Natoka ZT, sio Dakawa 

Hood bongo boy, jarida ni AFRICAN 

Real mfano wa JCB the Black Taliban 

Nakufundisha nikasomwe poa 

Kaa kona itakayoridhisha ukatoboa fresh 

Dunk lyrical call your God 

Yatende yalo mazuri kuwa close na lord, and be like 

 

[Hook] 

What I rap zaidi ya mechi Simba-Ismailia 

(Wanga walinifumba macho but I'm still right here) 

What I rap zaidi ya mechi Simba-Ismailia 

(Nahisi mnachotaka nnacho na ndo mnachokiskia) 

And be like...and be like 

And be like...and be like 

 

[Verse 3] 

[Hood C] 

Get up son hii saa ni ya kutubu 

Adhabu ni hot mzima kiziwi mpaka bubu 

 

[Salmin Swaggz] 

Talk to your lord bado unahema wanakuhusudu 

So fanya mema ka iliandikwa utaepuka sulubu 

 

[Hood C] 

Majedwali tatua kipindi unapokua 

Habari yako tambua, kiundani ask be sure 

 

[Salmin Swaggz] 

Tambua utata kabla hawajatatua 

But I know together tutasmama mjinga asiweze kutuua 

Then be like...