Search lyrics

Typing something do you want to search. Exam: Artist, Song, Album,Writer, Release Year...
if you want to find exactly, Please input keywords with double-quote or using multi keywords. Exam: "Keyword 1" "Keyword 2"

Singles


Artist: Z Anton
Total songs: 1
Year:

List songs in album

  1. Binti Kiziwi

Binti Kiziwi Lyrics - Singles - Z Anton

Verse 

Nimpate vipi mi sijui, ninaimani mapenzi hayajuiiihi 

Nitapata ugojwa wa moyo, kwa sababu ya mawazo Ninavyojuwa maisha yake, hajawai kuwa na boyfriend 

Ila ni mimi wakwanza naninashindwa kumpata 

Kwa ishara inaonekana nampenda, yeye eti ninamzingua Eti ingelikuwa anaskia, basi ukweli wangu angeujua 

Kwa ishara inaonekana nampenda, yeye eti ninamzingua Eti ingelikuwa anaskia, basi ukweli wangu angeujua Ningelizoe rafiki yakee basi ye ni,ningemtumaaaa Ningezitambua ishara zake basi mi kwake ningefika Ningelizoe rafiki yakee basi ye ni,ningemtumaaaa Ningezitambua ishara zake basi mi kwake ningefika 

Chorus 

Si siri ninampenda binti kiziwi 

Moyo wangu wamoteka binti kiziwi 

Si siri nataseka juu yake, ye binti kiziwi 

Si siri ninampenda binti kiziwi 

Kwakuwa moyo wangu wamouteka binti kiziwi 

Kichwa kinauma mawazo kwake binti kiziwiiii 

Verse 2 

Nashangaa pale nampomkutaaa, akiwa nawenzake wanaongeaaa Huwa najiuliza mimi, wanaongea,naye vipiiii Nashangaa napo muitaa,nahisi huwa anakata 

Sijui ndio hasiki, au mapozi, au mapozi naye 

Afadhali angejuae kusomae,hatachale kiumbe ningempa Eti kama ningejuwa isharaaa,basi kwake ningefika mimi Afadhali angejuwa kusomae, hata mbonge kiumbee ningempa Etikama ningejua isharaa,mbasi kwake ningefika baby 

Chorus 

Si siri ninampenda binti kiziwi 

Moyo wangu wamoteka binti kiziwi 

Si siri nataseka juu yake,ye binti kiziwi 

Si siri ninampenda binti kiziwi Kwa moyo wangu wamouteka binti kiziwi 

Kichwa kinauma mawazo kwake binti kiziwi 

Rap Verse 

Binti kiziwi yuko full yani yuko bombaa 

Amenidatisha mnyamwezi nayake figure 

Tatizo moja tu ambalo mimi hulinasibu 

Kila kukicha hata inikiwaza mimi sipati jibu 

Nikimwambia neno i luv you wala halijuwi 

Nikimwambie neno i need you halitambui 

Nikimwimbia nyimbo nzuri hata sikiii 

Pingu nasikitika nikimwona mbinti kiziwi 

Nikimwambia neno i luv you wala halijuwi 

Nikimwambie neno i need you halitambui 

Nikimwimbia nyimbo nzuri hata sikiii 

Pingu nasikitika nikimwona mbinti kiziwi 

Bridge 

Hatakusema neno i luv youuu kwake halijui 

Hatakusema neno i need youuu kwake halitambui Hatakusema neno i luv youuu kwake halijui 

Hatakusema neno i need youuu kwake halitambui Baby,baby baby,booo, 

baby i love you Ingawa nateseka naye, 

baby i need you Baby, baby, booo(uhuu), 

baby i love you (uhuhu) Baby (tuhuu) baby, 

i need you (uhu) Repeat Chorus till fade