Search lyrics

Typing something do you want to search. Exam: Artist, Song, Album,Writer, Release Year...
if you want to find exactly, Please input keywords with double-quote or using multi keywords. Exam: "Keyword 1" "Keyword 2"

Singles


Artist: Marlaw
Total songs: 4
Year:

Bembeleza Lyrics - Singles - Marlaw

Chorus 

Hey Hey hello Ma 

Laiti ungekuwa unaniona 

Vile kila time nakonda nawaza 

Kama kukupata nitaweza 

Jinsi gani kukueleza 

Au mi sijui bembeleza 

Usinikatae utaniumiza 

Nakupenda kukutenda sitoweza 

 

Verse 1 

Kila time nakuangalia usoni ma 

Sio kamaa nakosa neno kusema 

Ulivyo ma anafanya kosa kunena 

Ingawa moyo hautaki kunena tena 

Wazo kichwani lina beep (kukueleza) 

Ilavibaya ukinijibu (bembeleza) 

Nahisi sijui bembeleza 

Utakataa halafu mi utaniumizaa 

Kidesign nakuangalia usoni ma 

Kuna sign za kuita huko machoni ma 

Kitu fulani umehifadhi huko moyoni ma 

Unachotaka nianze mikusema 

Hapa unafanya nijione (nitashinda) 

Hapa unafanya nitamke (nakupenda) 

Ilaunacho jibu mdomoni nitofauti nausemacho machoni 

 

Chorus 

Hey hey hello ma 

Laiti ungekuwa unaniona 

Vile kila time nakonda nawaza 

Kama kukupata nitaweza 

Jinsi gani kukueleza 

Au mi sijui kubembeleza 

Usinikatae utaniumiza 

Nakupenda kukutenda sitoweza 

Hello ma 

Laiti ungekuwa unaniona 

Vile kila time nakonda nawaza 

Kama kukupata nitaweza 

Jinsi gani kukueleza 

Au mi sijui kubembeleza 

Usinikatae utaniumiza 

Nakupenda kukutenda sitoweza 

 

Verse 2 

Kati yetu imetawala rangi ya pinki 

Kitu ambacho moyoni siridhikii 

Nacho kuomba tuwe zaidi ya marafiki 

Inajionyesha machoni unaafiki 

Lugha ya macho kwa sasa (nakataa) 

Tataka tuongee ilitufikie (mwafaka) 

 

Kwenye party ulikuja umependeza 

Kwenye traini ukaniomba mi kucheza 

Tukadance na macho umelegeza 

Ulinibamba nikaficha kukueleza 

Unanimaliza, mimi ninakweleza, Ninakupembeleza, 

Baby please baby gal 

Vile unatamka, wewe kuona nataka, Tuonge ana kwa ana, 

Baby please baby gal 

 

Bridge 

We Dada mi unaniumiza 

We dada sijamaliza 

Unakata simu 

Please usikate ma 

 

Chorus 

Hey hey hello ma 

Laiti ungekuwa unaniona 

Vile kila time nakonda nawaza 

Kama kukupata nitaweza 

Jinsi gani kukueleza 

Au mi sijui kubembeleza 

Usinikatae utaniumiza 

Nakupenda kukutenda sitoweza 

Hello ma 

Laiti ungekuwa unaniona 

Vile kila time nakonda nawaza 

Kama kukupata nitaweza 

Jinsi gani kukueleza 

Au mi sijui kubembeleza 

Usinikatae utaniumiza 

Nakupenda kukutenda sitoweza