Search lyrics

Typing something do you want to search. Exam: Artist, Song, Album,Writer, Release Year...
if you want to find exactly, Please input keywords with double-quote or using multi keywords. Exam: "Keyword 1" "Keyword 2"

Singles


Artist: Marlaw
Total songs: 4
Year:

Rita Lyrics - Singles - Marlaw

Ooh Rita (Rita) 3x Ooh Rita oh no no no 

Chorus 

Sauti inasikika Tega makini, hujui nani inamwita 

Chozi lanitoka nitazamapo angani, Naona Sura ya Rita 

Ona mikono yangu mitupu, imezoea kukushika we 

Hata nyumbani kwangu haupo umepotea sikuoni kwamwe Ooh Rita 2x 

Daily nakuwaza wee 

Ooh Rita 2x 

Mimi nitanyamazaje? 

Verse 1 

Rita we unajua jinsi gani mimi na wewe tulivyopendana, Jitoa sadaka kimapenzi ilimradi tusijetengana, 

Ila we unajua ni yako familia, 

damu yangu ya Bongo si ya Asia. 

Ndo kigezo cha wao kunitosa mara mbili risasi wamenikosa. Kumbuka ile mimba ndio iliyokufanya 

ukaja kwangu (ulifukuzwa kwenu). 

Ulijifunguapo mtoto na wote mkaishi kwangu (ukawachukiza kwenu). 

Na taarifa ikaja kwako wewe Rita, 

Uende Arusha nduguzo wanakwita, 

Ukani-kiss kiss mimi na mtoto, 

nikakukiss hey hey 

Chorus 

Verse 2 

Ni tangu Arusha hadi Iringa simu inaita napokea unalia, Kurudi Iringa uishi nami ndugu zako wamekuzuia 

Ukasema laiti ungejua usingekubali uondokee pekee, Mwanao analia, ona mumeo ni bora ninywe pombe. 

Ila kwa penzi ukafosi kurudi, 

piga simu mume wangu nakuja, 

Na maneno ya konda kwenye basi ulifika alikupa siti ukakaa, ulipokaa ukakaa. 

Ile siku mi nimelelewa, 

niko mi na mwanangu kumpokea mke wangu. 

Konda akasema si wewe, ila tu mwili wako 

Chorus 

Ooh Rita Rita ahh Na Marco Chali, 

ndani ya MJ Records, 

this is true story to Marco 

Rita 3x 

Aaah hata nyumbani kwangu haupo!!